Mchungaji aliyepata almasi inayotajwa kuwa miongoni mwa almasi zenye ukubwa zaidi duniani, sasa anasema hatarajii chini ya dola milioni 50 za Marekani.

In Kimataifa

Mchungaji aliyepata almasi inayotajwa kuwa miongoni mwa almasi zenye ukubwa zaidi duniani, sasa anasema hatarajii chini ya dola milioni 50 za Marekani.

Hii ni baada ya kutofika bei iliyotarajiwa kwenye mnada nchini Sierra Leona, kulingana na shirika la AFP

Bei ya juu zaidi ya dola milioni 7.8 kwenye mnada huo, imetoka kwa raia wa Uingereza, anayeishi Antwerp na soko kubwa la Almasi Uropa, lililoko Ubelgiji, ambapo mnada ujao utaandaliwa wiki chache zijazo.

Hata hivyo, bei kamili ya Almasi hiyo, ambayo ndio bei yake ya mwisho, imewekwa na serikali ya Sierra Leone, na inasalia kuwa siri.

Mnamo mwezi Mei mwaka uliopita, kampuni ya kuzalisha almasi ya Lucara, iliuza almasi yenye uzani wa Karat 813 kwa dola milioni 63 katika mnada wa kipekee mjini London.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu