Mchungaji aliyepata almasi inayotajwa kuwa miongoni mwa almasi zenye ukubwa zaidi duniani, sasa anasema hatarajii chini ya dola milioni 50 za Marekani.

In Kimataifa

Mchungaji aliyepata almasi inayotajwa kuwa miongoni mwa almasi zenye ukubwa zaidi duniani, sasa anasema hatarajii chini ya dola milioni 50 za Marekani.

Hii ni baada ya kutofika bei iliyotarajiwa kwenye mnada nchini Sierra Leona, kulingana na shirika la AFP

Bei ya juu zaidi ya dola milioni 7.8 kwenye mnada huo, imetoka kwa raia wa Uingereza, anayeishi Antwerp na soko kubwa la Almasi Uropa, lililoko Ubelgiji, ambapo mnada ujao utaandaliwa wiki chache zijazo.

Hata hivyo, bei kamili ya Almasi hiyo, ambayo ndio bei yake ya mwisho, imewekwa na serikali ya Sierra Leone, na inasalia kuwa siri.

Mnamo mwezi Mei mwaka uliopita, kampuni ya kuzalisha almasi ya Lucara, iliuza almasi yenye uzani wa Karat 813 kwa dola milioni 63 katika mnada wa kipekee mjini London.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu