Mchungaji aliyepata almasi inayotajwa kuwa miongoni mwa almasi zenye ukubwa zaidi duniani, sasa anasema hatarajii chini ya dola milioni 50 za Marekani.

In Kimataifa

Mchungaji aliyepata almasi inayotajwa kuwa miongoni mwa almasi zenye ukubwa zaidi duniani, sasa anasema hatarajii chini ya dola milioni 50 za Marekani.

Hii ni baada ya kutofika bei iliyotarajiwa kwenye mnada nchini Sierra Leona, kulingana na shirika la AFP

Bei ya juu zaidi ya dola milioni 7.8 kwenye mnada huo, imetoka kwa raia wa Uingereza, anayeishi Antwerp na soko kubwa la Almasi Uropa, lililoko Ubelgiji, ambapo mnada ujao utaandaliwa wiki chache zijazo.

Hata hivyo, bei kamili ya Almasi hiyo, ambayo ndio bei yake ya mwisho, imewekwa na serikali ya Sierra Leone, na inasalia kuwa siri.

Mnamo mwezi Mei mwaka uliopita, kampuni ya kuzalisha almasi ya Lucara, iliuza almasi yenye uzani wa Karat 813 kwa dola milioni 63 katika mnada wa kipekee mjini London.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu