MCT kuwachulia hatua wanaonyanyasa wanahabari…

In Kitaifa

Baraza la habari Tanzania MCT limesema kuwa, litawachukulia hatua ikiwamo kuwafikisha mahakamani, wote watakaowazuia na kuwanyanyasa waandishi wa habari wakiwa kwenye majukumu yao.
Akizungumza leo wakati wa siku ya kimataifa ya kupinga jinai dhidi ya wanahabari, katibu mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga amesema kuwa, baraza hilo haliridhishwi na hali ya uhuru wa habari iliyopo hivi sasa.
Amesema hatua hiyo inatokana na kukithiri kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya viongozi wa serikali, pamoja na upindishwaji wa sheria unaolenga kuwakandamiza wanahabari.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu