MCT kuwachulia hatua wanaonyanyasa wanahabari…

In Kitaifa

Baraza la habari Tanzania MCT limesema kuwa, litawachukulia hatua ikiwamo kuwafikisha mahakamani, wote watakaowazuia na kuwanyanyasa waandishi wa habari wakiwa kwenye majukumu yao.
Akizungumza leo wakati wa siku ya kimataifa ya kupinga jinai dhidi ya wanahabari, katibu mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga amesema kuwa, baraza hilo haliridhishwi na hali ya uhuru wa habari iliyopo hivi sasa.
Amesema hatua hiyo inatokana na kukithiri kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya viongozi wa serikali, pamoja na upindishwaji wa sheria unaolenga kuwakandamiza wanahabari.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu