Mdahalo wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha Urais iran kufanyika leo.

In Kimataifa

Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 ,katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, utafanyika leo.
Mdahalo huo utarushwa hewani kwa njia ya moja kwa moja, kupitia Televisheni ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu la Iran IRIB.
Mdahalo wa leo utajikita katika masuala ya uchumi, baada ya midahalo miwili iliyopita ambayo ilijumuisha masuala ya kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu