Mdahalo wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha Urais iran kufanyika leo.

In Kimataifa

Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 ,katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, utafanyika leo.
Mdahalo huo utarushwa hewani kwa njia ya moja kwa moja, kupitia Televisheni ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu la Iran IRIB.
Mdahalo wa leo utajikita katika masuala ya uchumi, baada ya midahalo miwili iliyopita ambayo ilijumuisha masuala ya kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu