Mdahalo wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha Urais iran kufanyika leo.

In Kimataifa

Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 ,katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, utafanyika leo.
Mdahalo huo utarushwa hewani kwa njia ya moja kwa moja, kupitia Televisheni ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu la Iran IRIB.
Mdahalo wa leo utajikita katika masuala ya uchumi, baada ya midahalo miwili iliyopita ambayo ilijumuisha masuala ya kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu