Messi apiga nne Barcelona ikiibamiza Eibar 6-1.

In Kimataifa, Michezo

Lionel Messi alifunga mabao manne na kuifanya Barcelona kuendelea kubaki kileleni mwa La Liga huku klabu hiyo ikiweka rekodi  ya kushinda mechi zote msimu huu kwa kutoa kipigo cha mabao 6-1 dhidi ya Eibar.

Messi alifunga bao la kwanza daikika ya 20 kwa mkwaju wa penati na kuiweka Barcelona mbele kabla ya Paulinho kufunga la pili kwa kichwa dakika ya 38 kipindi cha kwanza.

Kipindi cha pili kilianza kwa Barcelona kutawala mchezo huo kwa asilimia kubwa na dakika ya 53 Denis Suarez alifunga bao la 3 kabla ya Sergi Enrich kuipatia Eibar bao la kufutia machozi dakika ya 57.

Lionel Messi akiwa katika ubora wake aliweza kupachika mabao matatu ndani ya dakika 28 akipiga bao la nne dakika ya 53, bao la tano dakika 62 na kupiga bao la 6 katika dakika ya 87.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu