Meya wa jiji la Arusha Kalisti lazaro ametoa siku tatu kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, kutoa taarifa sahihi ya michango ya rambi rambi ya wafiwa kwa familia 35 zilizo poteza ndugu zao

In Kitaifa

Meya wa jiji la Arusha Kalisti lazaro ametoa siku tatu kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, kutoa taarifa sahihi ya michango ya rambi rambi ya wafiwa kwa familia 35 zilizo poteza ndugu zao, katika ajali ya basi aina ya costa iliyotokea eneo la Rhotia wilayani karatu.

Akizungumza na vyombo vya habari ofisini kwake Meya amesema amefikia kutoa taarifa kwa vyombo vya habari, kutokana na usumbufu mkubwa  anao upata kutoka kwa wananchi kufika ofisini kwake ,na wengine kumpigia simu mara kwa mara kuuliza kuhusu ugawaji wa fedha hizo huku ,wengine wakimtumia jumbe za mpesa wanazo tumiwa fedha za rambi rambi.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo juzi wakati  akiwaaga majeruhi wa ajali amesema kuwa ,tarifa ambazo zimekua zikisambazwa katika mitandao ya kijamii kuhusu yeye kutoa taarifa za fedha walizo gawa kwa familia za wafiwa na kudaiwa kuwa fedha hizo hazija wafikia walengwa sio za kweli na kwamba ni za kisiasa, na kuwataka wananchi kuzipuuzia taharifa hizo kwani azina ukweli

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu