Meya wa jiji la Arusha Kalisti lazaro ametoa siku tatu kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, kutoa taarifa sahihi ya michango ya rambi rambi ya wafiwa kwa familia 35 zilizo poteza ndugu zao

In Kitaifa

Meya wa jiji la Arusha Kalisti lazaro ametoa siku tatu kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, kutoa taarifa sahihi ya michango ya rambi rambi ya wafiwa kwa familia 35 zilizo poteza ndugu zao, katika ajali ya basi aina ya costa iliyotokea eneo la Rhotia wilayani karatu.

Akizungumza na vyombo vya habari ofisini kwake Meya amesema amefikia kutoa taarifa kwa vyombo vya habari, kutokana na usumbufu mkubwa  anao upata kutoka kwa wananchi kufika ofisini kwake ,na wengine kumpigia simu mara kwa mara kuuliza kuhusu ugawaji wa fedha hizo huku ,wengine wakimtumia jumbe za mpesa wanazo tumiwa fedha za rambi rambi.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo juzi wakati  akiwaaga majeruhi wa ajali amesema kuwa ,tarifa ambazo zimekua zikisambazwa katika mitandao ya kijamii kuhusu yeye kutoa taarifa za fedha walizo gawa kwa familia za wafiwa na kudaiwa kuwa fedha hizo hazija wafikia walengwa sio za kweli na kwamba ni za kisiasa, na kuwataka wananchi kuzipuuzia taharifa hizo kwani azina ukweli

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu