Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro aunga mkono utumbuaji wa rais John Pombe Magufuli.

In Kitaifa

Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro ameunga mkono utumbuaji wa rais John Pombe Magufuli na kutaka rais huyo kuwashughulikia viongozi wa awamu ya tatu na ya nne kwa uzembe wa kukubali mchanga wa dhaabu kuuzwa nje kama njugu na kusababishia taifa hasara ya mabilioni ya fedha.

Akizungumza katika baraza la madiwani Meya Kalisti amesema haiwezekani makatibu wa wizara ya nishati wakaachwa pamoja na viongozi wao wakati waliruhusu uvujaji wa mabilioni katika upakiaji wa mchanga kusafirishwa nje.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu