Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro aunga mkono utumbuaji wa rais John Pombe Magufuli.

In Kitaifa

Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro ameunga mkono utumbuaji wa rais John Pombe Magufuli na kutaka rais huyo kuwashughulikia viongozi wa awamu ya tatu na ya nne kwa uzembe wa kukubali mchanga wa dhaabu kuuzwa nje kama njugu na kusababishia taifa hasara ya mabilioni ya fedha.

Akizungumza katika baraza la madiwani Meya Kalisti amesema haiwezekani makatibu wa wizara ya nishati wakaachwa pamoja na viongozi wao wakati waliruhusu uvujaji wa mabilioni katika upakiaji wa mchanga kusafirishwa nje.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu