Migogoro ya Ardhi yapungua Morogoro.

In Kitaifa

Wakazi wa Kata ya Mngazi Wilaya ya Morogoro, wamesema migogoro ya ardhi iliyokuwa imekithiri katika maeneo yao, imepungua kutokana na ushirikiano wao.

Wananchi hao wamesema hayo wakati wakizungumza na waandishi wa habari, walioukuwa katika kata hiyo kufahamu namna migogoro ya ardhi, inavyotatuliwa maeneo ya vijijini.

Wamesema migogoro ya ardhi iliyokuwa inasumbua katika eneo lao, ni pamoja na mipaka, mashamba ya urithi na baadhi ya viongozi wa vijiji, kuuza maeneo bila ya kuwashirikisha wananchi.

Kwa upande wake Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Vigolegole Octavian Kobelo, amesema hivi sasa kesi za ardhi katika baraza la ardhi kata, zimepungua kwa kiasi kikubwa.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu