Migogoro ya Ardhi yapungua Morogoro.

In Kitaifa

Wakazi wa Kata ya Mngazi Wilaya ya Morogoro, wamesema migogoro ya ardhi iliyokuwa imekithiri katika maeneo yao, imepungua kutokana na ushirikiano wao.

Wananchi hao wamesema hayo wakati wakizungumza na waandishi wa habari, walioukuwa katika kata hiyo kufahamu namna migogoro ya ardhi, inavyotatuliwa maeneo ya vijijini.

Wamesema migogoro ya ardhi iliyokuwa inasumbua katika eneo lao, ni pamoja na mipaka, mashamba ya urithi na baadhi ya viongozi wa vijiji, kuuza maeneo bila ya kuwashirikisha wananchi.

Kwa upande wake Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Vigolegole Octavian Kobelo, amesema hivi sasa kesi za ardhi katika baraza la ardhi kata, zimepungua kwa kiasi kikubwa.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu