Miili iliyohifadhiwa kwenye kaburi karne ya 16 yagunduliwa.

In Kimataifa

 

Wana akiolojia wamegundua kaburi lenye miili ya mwanamke na watoto wake, waliokuwa wamehifadhiwa karne kadhaa zilizopita.

Kaburi hilo linaloaminika kuwa la karne ya 16 hadi 11 kabla ya Kristo, lilipatikana karibu na mji wa Luxor kilomita 70 kutoka Cairo.

Kati ya vifaa vilivyopatikana ndani ya kaburi hilo, ni sanamu ya mfua viuma Amenemhat akiketi kando na mke wake.

Kulingana na wana akiolojia hao, mama huyo alifariki akiwa na miaka 50, na uchunguzi ulionyesha kuwa alifariki kutoka na ugonjwa wa mifupa.

Watoto wawili wa kiume walikuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 30 na walikuwa wamehifadhiwa katika hali nzuri.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu