Miili iliyohifadhiwa kwenye kaburi karne ya 16 yagunduliwa.

In Kimataifa

 

Wana akiolojia wamegundua kaburi lenye miili ya mwanamke na watoto wake, waliokuwa wamehifadhiwa karne kadhaa zilizopita.

Kaburi hilo linaloaminika kuwa la karne ya 16 hadi 11 kabla ya Kristo, lilipatikana karibu na mji wa Luxor kilomita 70 kutoka Cairo.

Kati ya vifaa vilivyopatikana ndani ya kaburi hilo, ni sanamu ya mfua viuma Amenemhat akiketi kando na mke wake.

Kulingana na wana akiolojia hao, mama huyo alifariki akiwa na miaka 50, na uchunguzi ulionyesha kuwa alifariki kutoka na ugonjwa wa mifupa.

Watoto wawili wa kiume walikuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 30 na walikuwa wamehifadhiwa katika hali nzuri.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu