Mikakati ya taifa itakayokuza uchumi wa kidigitali.

In Kitaifa

Serikali imetoa Rai kwa wataalamu na wabunifu wa TEHAMA
hasa wanawake na Vijana,kuwa tauari kupokea Teknolojia mpya
zinazoibuka kwa kasi na kuwa na hamasa ya kubuni mambo
makubwa ya kisayansi,kupitia changamoto zilizopo katika jamii,
hatua itakayokuza mkakati wataifa wa ujenzi wa uchumi
jumuishi wa kidigital nchini.


Wito huo umetolewa na Naibu Katibu mkuu Wizara ya Habari
Selestine Kakele,alipokuwa akizungumza na wadau wa Tehama
katika kongamano linalofanyika jijini Dar es salaam.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu