Milolongo mirefu yashuhudiwa ya wanasiasa walioshindwa wakati wa uchaguzi wa mchujo na kuwa wagombea huru nchini Kenya.

In Kimataifa

Milolongo mirefu imeshuhudiwa kwenye ofisi za tume ya uchaguzi nchini Kenya, wakati mamia ya watu wakiwemo wabunge na magavana walio ofisini, walifika kujiandikisha kama wagombea huru wakati wa uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti kabla ya siku ya mwisho ya Alhamis.

Wengi wa wale waliofika kujiandikisha ni wanasiasa ambao walishindwa wakati wa uchaguzi wa mchujo na ambao wamevihama vyama vyao kuwa wagombea huru.

Polisi na walinzi walifunga milango ya ofisi za msajili wa vyama ili kudhibi umati uliofika.

Kati ya wale walio na matumaini ya kuwania ni magava wa sasa wa kaunti za Kirinyaga na Nakuru ambao wote walishindwa wakati wa mchujo wa chama kinachotawala cha Jubilee

Wabuge kadha na kati ya wale wanaojiandikisha kuwa wagombea huru baada ya kushindwa kwenye mchujo.

Akizungumzia hatua ya kujiuzulu kwa wanasiasa kutoka chama cha Jubilee, Rais Uhuru Kenyatta aliwataka wafuasi kuheshimu matokeo ya mchujo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu