Milolongo mirefu yashuhudiwa ya wanasiasa walioshindwa wakati wa uchaguzi wa mchujo na kuwa wagombea huru nchini Kenya.

In Kimataifa

Milolongo mirefu imeshuhudiwa kwenye ofisi za tume ya uchaguzi nchini Kenya, wakati mamia ya watu wakiwemo wabunge na magavana walio ofisini, walifika kujiandikisha kama wagombea huru wakati wa uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti kabla ya siku ya mwisho ya Alhamis.

Wengi wa wale waliofika kujiandikisha ni wanasiasa ambao walishindwa wakati wa uchaguzi wa mchujo na ambao wamevihama vyama vyao kuwa wagombea huru.

Polisi na walinzi walifunga milango ya ofisi za msajili wa vyama ili kudhibi umati uliofika.

Kati ya wale walio na matumaini ya kuwania ni magava wa sasa wa kaunti za Kirinyaga na Nakuru ambao wote walishindwa wakati wa mchujo wa chama kinachotawala cha Jubilee

Wabuge kadha na kati ya wale wanaojiandikisha kuwa wagombea huru baada ya kushindwa kwenye mchujo.

Akizungumzia hatua ya kujiuzulu kwa wanasiasa kutoka chama cha Jubilee, Rais Uhuru Kenyatta aliwataka wafuasi kuheshimu matokeo ya mchujo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu