Misri yampongeza Rais Magufuli kwa utawala mzuri.

In Kimataifa, Kitaifa

Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, katika maeneo makuu kumi.

Maeneo hayo ni pamoja na kuimarisha uhusiano, ulinzi na kujenga kiwanda kikubwa cha nyama, pamoja na kiwanda cha dawa nchini.

Hata hivyo suala la matumizi ya maji ya Mto Nile halijapatiwa muafaka, na mazungumzo yanaendelea kuwezesha matumizi yenye faida ya mto huo kwa nchi zote zinazohusika.

Aidha Misri imempongeza Rais Magufuli kwa utawala mzuri, kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi, na kufafanua kuwa nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Tanzania.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu