Misri yampongeza Rais Magufuli kwa utawala mzuri.

In Kimataifa, Kitaifa

Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, katika maeneo makuu kumi.

Maeneo hayo ni pamoja na kuimarisha uhusiano, ulinzi na kujenga kiwanda kikubwa cha nyama, pamoja na kiwanda cha dawa nchini.

Hata hivyo suala la matumizi ya maji ya Mto Nile halijapatiwa muafaka, na mazungumzo yanaendelea kuwezesha matumizi yenye faida ya mto huo kwa nchi zote zinazohusika.

Aidha Misri imempongeza Rais Magufuli kwa utawala mzuri, kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi, na kufafanua kuwa nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Tanzania.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu