Mke wa Waziri Mkuu aliyechaguliwa nchini Lesotho ameuawa kwa kupigwa risasi.

In Kimataifa

Mke wa Waziri Mkuu aliyechaguliwa nchini Lesotho ameuawa kwa kupigwa risasi.

Polisi wamesema mke wa Thomas Thabane Lipolelo ambaye awajakua wakiishi pamoja tangu mwaka 2012, baada ya  Thabane kuwasilisha kesi ya talaka Mahakamani, aliuawa hapo jana jumatano wakati akiendesha gari karibu na nyumbani kwake,katika mji mkuu wa Maseru

Lesotho imekua na historia ya migogoro ya kisiasa

Waziri Mkuu huyo aliyechaguliwa Nchini humo ataapishwa siku ya Ijumaa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu