Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya usafiri wa anga TZ azungumzia mkutano wa kesho.

In Kitaifa

Kesho tarehe 19 na kesho kutwa tarehe 20 kutakua na mkutano maalum kuhusiana na Usafiri wa anga utakaolenga mambo mbalimbali ya sekta ya anga hapa nchini yakiwamo kuhakikisha wanafikia malengo ya uchumi wa kati na kujitathimini wapi walipo na wapi wanaelekea zikiwamo na changamoto zinazowakabili.

Lakini pia Mkurungenzi huyo ameeleza mgeni rasmi katika kikao hicho ni Waziri wa Ujenzi na Mawasiliano Mh.Makame Mbarawa,Lakini pia watakuepo wataalamu mbalimbali wataoelezea mambo mengi kuhusiana na usafiri wa Anga.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu