Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya usafiri wa anga TZ azungumzia mkutano wa kesho.

In Kitaifa

Kesho tarehe 19 na kesho kutwa tarehe 20 kutakua na mkutano maalum kuhusiana na Usafiri wa anga utakaolenga mambo mbalimbali ya sekta ya anga hapa nchini yakiwamo kuhakikisha wanafikia malengo ya uchumi wa kati na kujitathimini wapi walipo na wapi wanaelekea zikiwamo na changamoto zinazowakabili.

Lakini pia Mkurungenzi huyo ameeleza mgeni rasmi katika kikao hicho ni Waziri wa Ujenzi na Mawasiliano Mh.Makame Mbarawa,Lakini pia watakuepo wataalamu mbalimbali wataoelezea mambo mengi kuhusiana na usafiri wa Anga.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu