Mkurugenzi Mkuu mwakilishi wa (UNDP) kuondolewa Nchini.

In Kitaifa

Serikali ya Tanzania imeliagiza shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo (UNDP) kumuondoa mkurugenzi mkuu mwakilishi wa shirika hilo Tanzania kumuondoa kutoka nchini humo.

Tanzania imesema Bi Awa Dabo hajakuwa na maelewano mazuri na baadhi ya watumishi wenzake pamoja na wasimamizi wa shirika hilo.

Taarifa kutoka wizara ya mambo ya nje ya  imesema hilo limechangia kuzorotesha utendaji wa shirika hilo hapa nchini,na kupunguza kasi ya kuleta maendeleo kwa Watanzania endapo hatua za haraka hazingechukuliwa.

Serikali ya Tanzania kupitia wizara hiyo imetoa wito kwa UNDP kuwakumbusha watumishi wake kuwa, “kipaumbele chao ni kufanya kazi na Serikali ili kufikia maendeleo yaliyoainishwa kwenye Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka mitano na Malengo ya Maendeleo Endelevu ambayo yamefafanuliwa katika Agenda ya mwaka 2030

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu