Mkurugenzi Mkuu mwakilishi wa (UNDP) kuondolewa Nchini.

In Kitaifa

Serikali ya Tanzania imeliagiza shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo (UNDP) kumuondoa mkurugenzi mkuu mwakilishi wa shirika hilo Tanzania kumuondoa kutoka nchini humo.

Tanzania imesema Bi Awa Dabo hajakuwa na maelewano mazuri na baadhi ya watumishi wenzake pamoja na wasimamizi wa shirika hilo.

Taarifa kutoka wizara ya mambo ya nje ya  imesema hilo limechangia kuzorotesha utendaji wa shirika hilo hapa nchini,na kupunguza kasi ya kuleta maendeleo kwa Watanzania endapo hatua za haraka hazingechukuliwa.

Serikali ya Tanzania kupitia wizara hiyo imetoa wito kwa UNDP kuwakumbusha watumishi wake kuwa, “kipaumbele chao ni kufanya kazi na Serikali ili kufikia maendeleo yaliyoainishwa kwenye Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka mitano na Malengo ya Maendeleo Endelevu ambayo yamefafanuliwa katika Agenda ya mwaka 2030

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu