Mkurugenzi wa Uturuki wa Shirika la Kutetea haki za Binaadamu Amnesty International, Taner Kilic, amekamatwa na mamlaka za usalama nchini humo kwa madai ya kuwa na mafungamano na vuguvugu la kiongozi wa kidini Fethullah Gülen.

In Kimataifa

Mkurugenzi wa Uturuki wa Shirika la Kutetea haki za Binaadamu Amnesty International, Taner Kilic, amekamatwa na mamlaka za usalama nchini humo kwa madai ya kuwa na mafungamano na vuguvugu la kiongozi wa kidini Fethullah Gülen.

Serikali ya uturuki inawalaumu wafuasi wa Gulen kwa kuchochea jaribio la mapinduzi la Julai 15 mwaka jana, lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 250.

Tokea wakati huo Uturuki imekuwa katika hali ya hatari. Maelfu ya watu wamekamatwa au kusimamishwa kazi zao serikalini, mara nyingi bila ya kuwepo ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha matukio ya kuipinga serikali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu