Mkurugenzi wa Uturuki wa Shirika la Kutetea haki za Binaadamu Amnesty International, Taner Kilic, amekamatwa na mamlaka za usalama nchini humo kwa madai ya kuwa na mafungamano na vuguvugu la kiongozi wa kidini Fethullah Gülen.

In Kimataifa

Mkurugenzi wa Uturuki wa Shirika la Kutetea haki za Binaadamu Amnesty International, Taner Kilic, amekamatwa na mamlaka za usalama nchini humo kwa madai ya kuwa na mafungamano na vuguvugu la kiongozi wa kidini Fethullah Gülen.

Serikali ya uturuki inawalaumu wafuasi wa Gulen kwa kuchochea jaribio la mapinduzi la Julai 15 mwaka jana, lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 250.

Tokea wakati huo Uturuki imekuwa katika hali ya hatari. Maelfu ya watu wamekamatwa au kusimamishwa kazi zao serikalini, mara nyingi bila ya kuwepo ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha matukio ya kuipinga serikali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu