Mkuu wa AU asema yanayojiri Zimbabwe ni ‘kama mapinduzi’

In Kimataifa

Alpha Conde, ambaye ni rais wa Guinea amesema kilichotokea Zimbabwe bila shaka ni “wanajeshi kujaribu kuchukua mamlaka kwa nguvu”.

Mkuu huyo wa Umoja wa Afrika (AU) ametoa wito kwa jeshi kukomesha wanalofanya – jambo ambalo amesema “linaonekana kama mapinduzi ya serikali”, kwa mujibu wa shirika la habari la AFP.

Hilo linakinzana na msimamo wa jeshi la Zimbabwe ambalo limesisitiza kwamba halijatekeleza mapinduzi ya kijeshi, bali linajaribu kuwaondoa “wahalifu” wanaomzingira Rais Mugabe.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu