Mkuu wa Jeshi la Polisi afungua majengo mawili.

In Kitaifa
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amefungua majengo mawili ya ofisi ya usalama barabarani  huku akiwahimiza askari wa jeshi hilo Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya kufanya kazi kwa weledi, uwaadilifu, kujituma na kuwa na mahusiano na kushirikiana na wananchi katika ulinzi wa taifa na kupambana na uhalifu.
Akizungumza na askari hao wa Polisi wa Tarime/ Rorya  katika hafla ya uzinduzi wa majengo hayo yaliyojengwa kwa gharama zaidi ya Sh milioni 40 sirro amewataka askari polisi kufanya kazi kwa kufuata sheria bila kumuonea mtu.
Kamanda wa Polisi wa Tarime/ Rorya, Henry Mwaibambe amesema majengo hayo yamegharimu milioni 21 laki tisa na sabini na nane elfu, wakati jengo la michezo ambalo halijakamilika linatarajiwa kukamilika kwa zaidi ya Sh milioni 25.
Aidha amezitaja changamoto nyingine zinazokabili Kikosi cha Usalama Barabarani ni magari, pikipiki za kufanya doria ili kudhibiti vitendo vya makosa ya barabarani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu