Mkuu wa Wilaya afanya ziara ya kushtukiza.

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Robert Gabriel, ameagiza watu waliyosababisha uharibifu wa samani za mamilioni ya fedha katika Hospitali ya Wilaya ya Magunga, wachukuliwe hatua za kisheria.

Gabriel amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, na kukuta samani mbalimbali za mamilioni ya shilingi, zikiwa zimetelekezwa maeneo yasiyo rasmi.

Kutokana na hali hiyo alionyesha kutofurahishwa na kumtaka Mganga Mkuu wa hospitali hiyo Dk Frank Chiduo kutoa maelezo, ambayo hata hivyo hayakumridhisha.

Kwa upande wake katibu wa Afya Dk Frank Mhilu katika maelezo yake, amesema inawezekana vifaa hivyo viliwekwa eneo hilo baada ya kuonekana kuwa vibovu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu