Mkuu wa Wilaya afanya ziara ya kushtukiza.

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Robert Gabriel, ameagiza watu waliyosababisha uharibifu wa samani za mamilioni ya fedha katika Hospitali ya Wilaya ya Magunga, wachukuliwe hatua za kisheria.

Gabriel amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, na kukuta samani mbalimbali za mamilioni ya shilingi, zikiwa zimetelekezwa maeneo yasiyo rasmi.

Kutokana na hali hiyo alionyesha kutofurahishwa na kumtaka Mganga Mkuu wa hospitali hiyo Dk Frank Chiduo kutoa maelezo, ambayo hata hivyo hayakumridhisha.

Kwa upande wake katibu wa Afya Dk Frank Mhilu katika maelezo yake, amesema inawezekana vifaa hivyo viliwekwa eneo hilo baada ya kuonekana kuwa vibovu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu