Mkuu wa Wilaya afanya ziara ya kushtukiza.

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Robert Gabriel, ameagiza watu waliyosababisha uharibifu wa samani za mamilioni ya fedha katika Hospitali ya Wilaya ya Magunga, wachukuliwe hatua za kisheria.

Gabriel amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali hiyo, na kukuta samani mbalimbali za mamilioni ya shilingi, zikiwa zimetelekezwa maeneo yasiyo rasmi.

Kutokana na hali hiyo alionyesha kutofurahishwa na kumtaka Mganga Mkuu wa hospitali hiyo Dk Frank Chiduo kutoa maelezo, ambayo hata hivyo hayakumridhisha.

Kwa upande wake katibu wa Afya Dk Frank Mhilu katika maelezo yake, amesema inawezekana vifaa hivyo viliwekwa eneo hilo baada ya kuonekana kuwa vibovu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu