MKUU WA WILAYA YA MBEYA MH.BENO MALISA AWATOA HOFU WAKAZI WA WILAYA YA MBEYA JUU YA UHABA WA MAFUTA.

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh Beno Malisa amewatoa hofu wakazi wa Wilaya ya Mbeya kutokana na Kuwepo kwa taarifa ya uhaba wa mafuta katika baadhi ya Maeneo Mkoani Mbeya.

Akitembelea katika baadhi vituo vya Mafuta Jijini Mbeya na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya dc) huku akiambatana na Meneja wa wa EWURA Mkoa wa Mbeya Dickson Semkuyu , Mh. Malisa amejionea hali halisi ya upatikanaji wa huduma ya mfuta na kubainisha kuwa hakutokuwa na Changamoto kubwa kuhusu uhaba wa mafuta na kuwataka Wafanyabishara, watumiaji wa Vyombo vya moto na Wakazi wa Mbeya kuwa watulivu Huku jitihada za dhati zikichukuliwa kutatua changamoto hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu