Mlinda mlango Goran Lenac apigwa risasi.

In Kimataifa, Michezo

 

Mlinda mlango Goran Lenac ambaye alikuwa akikipiga katika klabu ya Fc Bolekj inayoshiriki katika ligi kuu nchini Montenegro amepigwa risasi.

Inadawaiwa kwamba Goran Lenac alikuwa katika uwanja wa mazoezi wa klabu yake ya Fc Boelkj ambapo alikuwa akifanya mazoezi na marafiki zake kabla ya tukio hilo la mauaji kujitokeza.

Wakati akiendelea kufanya mazoezi na wachezaji wenzake kulitokea kundi la watu walikuja na kufyatua risasi kadhaa zilizompiga kichwani huku wakifyatua nyingine hewani ili kuwakaimbiza watu waliokuwa wakitazama mazoezi.

Baada ya tukio hilo Polisi waliweka vizuizi katika mji wa Kotor ili kuwazuia watu wasitoke na Lenac alikimbizwa hospitali lakini tayari alishapoteza uhai.

Nchi ya Montenegro ni nchi iliyoko Kusini Mashariki mwa Ulaya lakini ni kati ya nchi ambazo ulinzi wake uko chini sana na imetawaliwa sana na matukio.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu