Mlinda mlango Goran Lenac apigwa risasi.

In Kimataifa, Michezo

 

Mlinda mlango Goran Lenac ambaye alikuwa akikipiga katika klabu ya Fc Bolekj inayoshiriki katika ligi kuu nchini Montenegro amepigwa risasi.

Inadawaiwa kwamba Goran Lenac alikuwa katika uwanja wa mazoezi wa klabu yake ya Fc Boelkj ambapo alikuwa akifanya mazoezi na marafiki zake kabla ya tukio hilo la mauaji kujitokeza.

Wakati akiendelea kufanya mazoezi na wachezaji wenzake kulitokea kundi la watu walikuja na kufyatua risasi kadhaa zilizompiga kichwani huku wakifyatua nyingine hewani ili kuwakaimbiza watu waliokuwa wakitazama mazoezi.

Baada ya tukio hilo Polisi waliweka vizuizi katika mji wa Kotor ili kuwazuia watu wasitoke na Lenac alikimbizwa hospitali lakini tayari alishapoteza uhai.

Nchi ya Montenegro ni nchi iliyoko Kusini Mashariki mwa Ulaya lakini ni kati ya nchi ambazo ulinzi wake uko chini sana na imetawaliwa sana na matukio.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu