Mohamed Dewji ashinda zabuni ya kuendesha klabu ya simba.

In Kitaifa, Michezo

Baada ya kutangazwa kwa Mfanyabiashara, Mohammed Dewji kushinda zabuni ya kuindesha klabu ya Simba kwa kumiliki hisa asilimia 49 ya timu hiyo, MO amesema anashangazwa klabu hiyo kukosa hata uwanja wa mazoezi licha ya kuwa na jina kubwa barani Afrika.

Leo hii timu yetu ina miaka 81 lakini hatuna hata uwanja wetu wenyewe wa kufanyia mazoezi. “amesema MO Dewji na kudai na kuahidi kujenga uwanja wa kisasa wa mazoezi wa klabu hiyo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu