Moto wazuka soko kuu bukoba.

In Kitaifa

Taharuki imezuka Kagera baada ya soko kuu mkoani humo
kuungua kwa moto majira ya usiku wa kuamkia leo ambapo
baadhi ya maduka na Vitu baadhi vimeungua na kufanikisha kuokoa vichache na
hakuna madhara yeyote kwa binadamu.

Aidha mmiliki wa duka pamoja na mashuuda wamesema kuwa
jeshi la Zimamoto na Uokoaji lilifika mapema na kufanya kazi
kikamilifu kama ilivyopaswa kuwa.

Kwaupande wake mkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Sima
alifika eneo la tukio pamoja na Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa
wa Kagera Maketi Msangi walikuwa na haya ya kusema

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu