Mpina atangaza vita dhidi ya uvuvi haramu.

In Kitaifa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, amezitaka halmashauri ambazo shughuli za uvuvi zinafanyika kutenga fedha ili kuweza kupambana na uvuvi haramu.

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam mara baada ya kujionea dhana mbalimbali zinazotumiwa na wavuvi haramu, zilizokamatwa na kikosi maalumu cha kupambana na uvuvi haramu.

Waziri Mpina amewataka Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Mkurugenzi, waanze kutembea na barua za kuwafukuza kazi watumishi wanaoshirikiana na wavuvi haramu.

Msikilizaji kama hukuwa ukifahamu ni kwamba madhara yanayosababishwa na Samaki waliovuliwa kwa kutumia mabomu, ni pamoja na magonjwa ya tumbo na saratani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu