Mpina atangaza vita dhidi ya uvuvi haramu.

In Kitaifa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, amezitaka halmashauri ambazo shughuli za uvuvi zinafanyika kutenga fedha ili kuweza kupambana na uvuvi haramu.

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam mara baada ya kujionea dhana mbalimbali zinazotumiwa na wavuvi haramu, zilizokamatwa na kikosi maalumu cha kupambana na uvuvi haramu.

Waziri Mpina amewataka Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Mkurugenzi, waanze kutembea na barua za kuwafukuza kazi watumishi wanaoshirikiana na wavuvi haramu.

Msikilizaji kama hukuwa ukifahamu ni kwamba madhara yanayosababishwa na Samaki waliovuliwa kwa kutumia mabomu, ni pamoja na magonjwa ya tumbo na saratani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu