Mpina atangaza vita dhidi ya uvuvi haramu.

In Kitaifa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, amezitaka halmashauri ambazo shughuli za uvuvi zinafanyika kutenga fedha ili kuweza kupambana na uvuvi haramu.

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam mara baada ya kujionea dhana mbalimbali zinazotumiwa na wavuvi haramu, zilizokamatwa na kikosi maalumu cha kupambana na uvuvi haramu.

Waziri Mpina amewataka Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Mkurugenzi, waanze kutembea na barua za kuwafukuza kazi watumishi wanaoshirikiana na wavuvi haramu.

Msikilizaji kama hukuwa ukifahamu ni kwamba madhara yanayosababishwa na Samaki waliovuliwa kwa kutumia mabomu, ni pamoja na magonjwa ya tumbo na saratani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu