Mrithi wa Kabila kupatikana Desemba 2018.

In Kimataifa, Siasa

Hatimaye Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo CENI, imetangaza kwamba uchaguzi mkuu wa rais unaosubiriwa sana utafanyika Desemba 23 2018 na siyo Aprili 2019 kama ilivyotangazwa awali.
Tarehe hiyo imetangazwa baada ya ukosoaji mkubwa kwamba Rais Joseph Kabila, amekuwa akiahirisha uchaguzi mara kwa mara ili abaki anang’ang’ania madaraka.
CENI imetangaza tarehe hiyo siku chache baada ya balozi wa Marekani kwenye Umoja wa Mataifa Nikki Haley, kuonya uwezekano wa kuzuka vurugu ikiwa uchaguzi huo hautafayika haraka.
Hata hivyo, upinzani umesema haukubaliani na tarehe hiyo huku ukimtaka Rais Kabila kuondoka madarakani.
Uchaguzi mkuu ulipaswa kufanyika Desemba 2016 baada ya mihula miwili ya uongozi wa Kabila kumalizika, lakini umekuwa ukiahirishwa na alikataa kujiuzulu hali iliyoibua mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu