Mshambuliaji mwenye bunduki amewafyatulia risasi wabunge wa chama cha Republican waliokuwa katika mazoezi kujiandaa na mchezo wa hisani wa baseball, na kumjeruhi vibaya mnadhimu wa chama hicho bungeni, mwakilishi wa jimbo la Lousiana Steve Scalise.

In Kimataifa

Mshambuliaji mwenye bunduki amewafyatulia risasi wabunge wa chama cha Republican waliokuwa katika mazoezi kujiandaa na mchezo wa hisani wa baseball, na kumjeruhi vibaya mnadhimu wa chama hicho bungeni, mwakilishi wa jimbo la Lousiana Steve Scalise.

Mshambuliaji huyo aliekuwa na hasira dhidi ya rais Donald Trump na wabunge wa Republican, alipambana vikali na polisi kabla yeye mwenyewe kupigwa risasi na kufariki baadaye.

Watu wengine wanne walijeruhiwa katika shambulizi hilo.Rais Trump amemtembelea mbunge huyo katika hospitali mjini Washington alikofanyiwa upasuaji na kusema kwenye ukurasa wake wa twita kuwa yuko katika hali ngumu na kuwataka Wamarekani wamuombee.

Hali yake imeelezwa kuwa mbaya sana.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu