Mshambuliaji mwenye bunduki amewafyatulia risasi wabunge wa chama cha Republican waliokuwa katika mazoezi kujiandaa na mchezo wa hisani wa baseball, na kumjeruhi vibaya mnadhimu wa chama hicho bungeni, mwakilishi wa jimbo la Lousiana Steve Scalise.

In Kimataifa

Mshambuliaji mwenye bunduki amewafyatulia risasi wabunge wa chama cha Republican waliokuwa katika mazoezi kujiandaa na mchezo wa hisani wa baseball, na kumjeruhi vibaya mnadhimu wa chama hicho bungeni, mwakilishi wa jimbo la Lousiana Steve Scalise.

Mshambuliaji huyo aliekuwa na hasira dhidi ya rais Donald Trump na wabunge wa Republican, alipambana vikali na polisi kabla yeye mwenyewe kupigwa risasi na kufariki baadaye.

Watu wengine wanne walijeruhiwa katika shambulizi hilo.Rais Trump amemtembelea mbunge huyo katika hospitali mjini Washington alikofanyiwa upasuaji na kusema kwenye ukurasa wake wa twita kuwa yuko katika hali ngumu na kuwataka Wamarekani wamuombee.

Hali yake imeelezwa kuwa mbaya sana.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu