Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel aomba itangazwe “hali ya dharura ya elimu” nchini Nigeria

In Kimataifa
Mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel Malala Yousafzai, jana aliomba itangazwe “hali ya dharura ya elimu” nchini Nigeria, wakati alipoitembelea nchi hiyo na kukutana na baadhi ya wasichana wa shule ya Chibok.
Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 20 anayepigania elimu duniani kote alipendekeza maoni yake hayo wakati alipokutana na Makamu wa Rais Yemi Osinbajo mjini Abuja.
Nigeria ina watoto milioni 10.5 ambao hawapo shuleni – idadi kubwa zaidi ulimwenguni – na asilimia 60 ya idadi hiyo ni wasichana, kulingana na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa , UNICEF.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu