Mtandao wa Polisi Wanawake nchini watimiza miaka 10.

In Kitaifa

Mtandao wa polisi wanawake nchini, unatarajia kufanya sherehe za kuazimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapa nchini.
Sherehe hizo zimepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi 11 mwaka huu, katika chuo cha polisi cha taaluma ya polisi Dar es salaam.
Mgeni rasmi katia sherehe hizo anatazamiwa kuwa makamu wa Rais Bi Samia Suluhu Hasani.
Antenna imeinasa sauti ya msemaji wa jeshi la polisi nchini Barnabasi David, alipozungumza na waandishi wa habari juu ya maazimisho hayo.

Kwa upande wake mwenyekiti wa mtandao huo ACP Tulibake Mkondya, amesema baadhi ya mambo ambayo yamefanywa na mtandao huo baada ya kuanzishwa kwake.

Maazimisho hayo yanabebwa na kaulimbiu isemayo Usalama wetu ni mtaji wa maendeleo, tokomeza uhalifu kuwezesha uchumi wa viwanda.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu