Mtandao wa Polisi Wanawake nchini watimiza miaka 10.

In Kitaifa

Mtandao wa polisi wanawake nchini, unatarajia kufanya sherehe za kuazimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapa nchini.
Sherehe hizo zimepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi 11 mwaka huu, katika chuo cha polisi cha taaluma ya polisi Dar es salaam.
Mgeni rasmi katia sherehe hizo anatazamiwa kuwa makamu wa Rais Bi Samia Suluhu Hasani.
Antenna imeinasa sauti ya msemaji wa jeshi la polisi nchini Barnabasi David, alipozungumza na waandishi wa habari juu ya maazimisho hayo.

Kwa upande wake mwenyekiti wa mtandao huo ACP Tulibake Mkondya, amesema baadhi ya mambo ambayo yamefanywa na mtandao huo baada ya kuanzishwa kwake.

Maazimisho hayo yanabebwa na kaulimbiu isemayo Usalama wetu ni mtaji wa maendeleo, tokomeza uhalifu kuwezesha uchumi wa viwanda.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu