Mtandao wa Polisi Wanawake nchini watimiza miaka 10.

In Kitaifa

Mtandao wa polisi wanawake nchini, unatarajia kufanya sherehe za kuazimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapa nchini.
Sherehe hizo zimepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi 11 mwaka huu, katika chuo cha polisi cha taaluma ya polisi Dar es salaam.
Mgeni rasmi katia sherehe hizo anatazamiwa kuwa makamu wa Rais Bi Samia Suluhu Hasani.
Antenna imeinasa sauti ya msemaji wa jeshi la polisi nchini Barnabasi David, alipozungumza na waandishi wa habari juu ya maazimisho hayo.

Kwa upande wake mwenyekiti wa mtandao huo ACP Tulibake Mkondya, amesema baadhi ya mambo ambayo yamefanywa na mtandao huo baada ya kuanzishwa kwake.

Maazimisho hayo yanabebwa na kaulimbiu isemayo Usalama wetu ni mtaji wa maendeleo, tokomeza uhalifu kuwezesha uchumi wa viwanda.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu