Mtekaji watoto Arusha afariki kwa kupigwa risasi.

In Kitaifa

Kijana aliyehusika na matukio ya utekani watoto mkoani Arusha Samson Petro (18) amefariki dunia kwa kupigwa risasi na polisi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Charles Mkumbo, amethibitisha kutokea kwa kifo hicho alipozungumza na waandishi wa habari mapema leo.

Kamanda Mkumbo amesema kijana huyo alipigwa risasi, alipotaka kukimbia alipokuwa anakwenda kuwaonyesha polisi watuhumiwa wenzake wa utekaji, saa tano usiku wa jana

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu