Mtekaji watoto Arusha afariki kwa kupigwa risasi.

In Kitaifa

Kijana aliyehusika na matukio ya utekani watoto mkoani Arusha Samson Petro (18) amefariki dunia kwa kupigwa risasi na polisi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Charles Mkumbo, amethibitisha kutokea kwa kifo hicho alipozungumza na waandishi wa habari mapema leo.

Kamanda Mkumbo amesema kijana huyo alipigwa risasi, alipotaka kukimbia alipokuwa anakwenda kuwaonyesha polisi watuhumiwa wenzake wa utekaji, saa tano usiku wa jana

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu