Mtendaji wa kata auawa.

In Kitaifa

 Aliyekuwa mtendaji wa Kata ya Mwandui iliyopo mwambao mwa bonde la ziwa Rukwa, Benedict Chapewa ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia leo Jumatano.

Enzi za uhai wake marehemu aliwahi kuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilaya ya Sumbawanga Vijijini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa jeshi la Polisi kwa sasa lipo katika msako mkali ili kuwabaini wahusika wa tukio hilo pamoja na chanzo cha mauaji hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu