Mtendaji wa kata auawa.

In Kitaifa

 Aliyekuwa mtendaji wa Kata ya Mwandui iliyopo mwambao mwa bonde la ziwa Rukwa, Benedict Chapewa ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia leo Jumatano.

Enzi za uhai wake marehemu aliwahi kuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilaya ya Sumbawanga Vijijini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa jeshi la Polisi kwa sasa lipo katika msako mkali ili kuwabaini wahusika wa tukio hilo pamoja na chanzo cha mauaji hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu