Mtoto aliyekuwa na Ugonjwa wa Uzee Afrika Kusini Afariki Dunia

In Afya

Haina maana kwamba kwenye Dunia ya leo kuwa Maarufu ni mpaka uwe mwanamuziki, au mtu yeyote ambaye anajihusisha na siasa au kazi za Sanaa.

Jamii inaweza kukupa umaarufu kwa kukuhurumia pia kwa matatizo ambayo unayapitia siku hadi siku.

Ontlametse Phalatse ni Kijana aliyetimiza miaka 18 mwezi uliopita na Jana amefariki Dunia.

Ontlametse Phalatse ni Msichana aliyejipatia umaarufu Nchini Afrika ya Kusini kwa ucheshi aliokuwa nao wa kucheka muda wote pasi na kuwaza tatizo kubwa la Maumbile lililokuwa likimtesa siku hadi siku.

Msichana huyo alizaliwa na ugonjwa uitwao Progrey Desease ambao humfanya mtu kukua haraka kupita kiasi.

Yaani mtoto mdogo lakini anaonekana kama Mzee na Mwili wake unakuwa mdogooooo ila Anazeeka ki viungo na ngozi

Ontlametse Phalatse

Mwanzoni Madaktari walisema kwamba Angefariki akifikisha Miaka 14 lakini ikawa Tofauti kwa ahadi za Mungu kwamba hakuna aijuaye kesho na Mwezi uliopita March 25  Msichana huyo alitimiza Miaka 18.

Katika siku yake hiyo ya Kuzaliwa ilitimia ndoto yake kukutana na Rais Zuma ambapo Alifanyiwa Bday Perty Ikulu ya SA na Zuma akakata naye Cake.

Ontlametse Phalatse akiwa anakata Cake na Rais Jacob Zuma

Amefariki  usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Dr George Mukhari Academic huko Ga-Rankuwa, Pretoria.

Taarifa ya familia yake imesema: It is with great sadness to inform you of the passing of our first lady, Ontlametse Ntlami Phalatse. Our hearts are filled with pain and sadness but Ontlametse — as we know her — would want us to carry on with her courageous spirit.”

Alikuwa maarufu sana Instagram ambako alikuwa na followers 63.6k.

MUNGU AMREHEMU AMEEN!

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu