Mtoto wa miaka 10 atoa msaada wachakula kwa watu wasio ma mahali pa kuishi.

In Kimataifa

 

Siku zote matukio ni mengi na yanashangaza yawe mazuri au mabaya antena ya Radio5fm tunakupenyezea moja inayoshangaza

Liam ni kijana mwenye miaka 10 huko Massachusetts Marekani  mwezi wa sita  liam alimfuata baba yake Scott Hannon na kumwambia kuwa anataka kufanya kazi ya kujitolea kwa ajili yakusaidia jamii ( community service )  alimkubalia na kushirikiana nae  ili aweze kufanikisha jambo hilo .

Liam ametumia likizo yake kutengeneza mlo wa mchana kwa wale wasio na makazi na mpaka sasa liam amefanikiwa kutoa mlo 300 kwa watu hao .Tambua liam alianza kwa kutoa  lunchbox 20 kwa wiki na baba ake aliamua kumsaidia kwa kuomba usaidizi kupitia GoFundMe  na akafankiwa kutoa lunchbox 60 kwa wiki

Liam na baba  yake wameungana na   Hildebrand Family Self Help Center huko Cambridge, Massachusetts ili kupata vifaa vya shule kwa zaidi ya wanafunzi  400 ambao hawana makwao  Kelly kiongozi wa maendeleo kwenye kituo hicho  alidai kuwa kwa mtoto wa miaka 10 kufanya kitendo hicho cha kusaidia watu hao ni jambo lakushangangaza na  la Baraka  .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu