“Mugabe anajiandaa kuondoka madarakani,” mtandao wa wa News24 uliandika bila ya kutoa taarifa zaidi.
Misukusuko ya kisiasa imekuwa ikiongezeka tangu Mugabe hivi majuzi amfute Emmerson Mnangagwa, mshirika wake wa miaka mingi kama makamu wa Rais.
“Mugabe anajiandaa kuondoka madarakani,” mtandao wa wa News24 uliandika bila ya kutoa taarifa zaidi.
Misukusuko ya kisiasa imekuwa ikiongezeka tangu Mugabe hivi majuzi amfute Emmerson Mnangagwa, mshirika wake wa miaka mingi kama makamu wa Rais.