Mugabe: Mnangawa aliwauliza waganga ni lini nitakufa.

In Kimataifa

Rais wa Zimbabwe Robert Kugabe amemlaumu makamu wake wa rais aliyefutwa, Emmerson Mnangawa kuwa alikuwa akiwauliza waganga ili kujua ni lini yeye Mugabe 93, angekufa, wakati akipanga kuchukua madaraka, gazeti la serikali la Herald lilisema.

Bwana Mnangawa kwanza alisambaza uvumi kuwa rais alipanga kustaafu mwezi Machi lakini baada ya kugundua kuwa hilo halikufanyika, alianza kuwauliza waganga kuhusu ni lini nitakufa, Bw Mugabe alisema.

Wakati mmoja aliambiwa kuwa atakufa kabla ya mimi.

Akiwahutubia maelfu ya wafuazi kwenye mji mkuu Hararare, Bw Mugabe alisema kuwa Mnangawa alikosa maadili na alijaribu kuanzisha uasi kwenye chama tawala cha Zanu-PF.

Siku ya Jumatatu Mugabe alimfuta Mnangawa, mshirika wa karibu wake tangu vita vya uhuru vya miaka ya sabini, katika kile wadadisi wanasema kuwa ni njia ya kumwezesha mke wake Grace kuchukua madaraka wakati wakakufa au kustaafu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu