Mwanaume Afariki kwa kuingia kwenye moto ulioandaliwa kwa ajili ya Festival huko Nevada.

In Kimataifa

 

Aaron Joel mwenye miaka 42 huko Nevada amekimbilia ndani ya moto kwenye Burning man Festival na kisha kupata majeraha mabaya sana.

Watu walifanikiwa kumuokoa na kumkimbiza ndani ya hospital ya UC Davic huko Califonia,lakini kwa bahati mbaya umauti ulimpata.

Daktari walisema mwanaume uyo hakuwa ametumia kilevi chochote, na wanashangaa kwanini aliamua kuingia kwenye moto ule.

Kwa sasa wanaendelea kufanya uchunguzi kujua ni nini kilipelekea mwanaume huyo kufanya hivyo.

Waandaaji wa Festival hiyo ambayo inafanyika mara moja kwa mwaka,  ambapo wanachoma mtu aliyetengenezwa kwa kutumia mbao na waandaaji, wamesema sio mara ya kwanza kitendo kama cha Aaron kutokea, kwani wale watu wanaohudhuria wamekua wakitaka kuingia ndani ya moto huo na wengine kufanya kama ukumbusho .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu