Mwigamba na wenzake wajiunga na CCM.

In Kitaifa, Siasa

Baadhi viongozi waliokuwa katika Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na Samson Mwigamba, leo wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM.

Uamuzi huo umetolewa leo na aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa ya Chama hicho Samson Mwigamba, ambaye alijihuzulu hivi karibuni na kubaki kuwa mwanachama wa kawaida.

Mwigamba amesema wameamua kuchukua uamuzi huo, kwa madai ya kuwa ameona kuna mambo ndani ya chama hicho hayaendi sawa.

Kama huwafahamu ni kina nani wengine na vyeo walivyokuwa navyo waliojivua uanachama wa ACT-Wazalendo na kujiunga CCM, hawa hapa wanatajwa na Samson Mwigamba.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu