Waziri wa fedha na mipango Dkt Mwigullu Nchemba amesema
mfumuko wa Bei ulioshuhudiwa kwa siku za hivi karibuni na
kusababisha baadhi ya bidhaa kupanda bei mara dufu,huenda
ukaanza kupungua kutoka na kushuka kwa bei ya nishati ya
mafuta katika soko la dunia.
Dkt Mwigulu ameeleza hayo alipokuwa akifungua mkutano wa
kimataifa wa taasisi ya kuhakikisha uendelevu wa uwekezaji
duniani MIGA inayofanya kazi chibi ya Bank ya Dunia.