Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Vitimaalumu (CHADEMA) utawasili Arusha kesho.

In Kitaifa

Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Dkt.Elly Marko Macha umewasili Nchini,na utawasili Arusha kesho Aprili 21 saa nane mchana.

Mwili wa Dkt.Macha utapokelewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa Kilimanjaro International Airport (KIA),Mwili utapelekwa nyumbani kwake Usariver kwaajili ya kutoa heshima za mwisho.

 

Mwili wa Dr.Elly Macha ulivyopokelewa uwanja wa ndege wa Dar es saalam Leo.

Waombolezaji walivyojipanga kuupokea Mwili wa

Dr.Elly Macha.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu