Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Vitimaalumu (CHADEMA) utawasili Arusha kesho.

In Kitaifa

Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Dkt.Elly Marko Macha umewasili Nchini,na utawasili Arusha kesho Aprili 21 saa nane mchana.

Mwili wa Dkt.Macha utapokelewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa Kilimanjaro International Airport (KIA),Mwili utapelekwa nyumbani kwake Usariver kwaajili ya kutoa heshima za mwisho.

 

Mwili wa Dr.Elly Macha ulivyopokelewa uwanja wa ndege wa Dar es saalam Leo.

Waombolezaji walivyojipanga kuupokea Mwili wa

Dr.Elly Macha.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu