Mzingira nchini Somalia yaimarika na kufaulu kufanya mambo yake.

In Kimataifa

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ameambia kikao cha kimataifa kinachojadiliana hatma ya Somalia kuwa mazingira nchini Somalia hivi sasa yameimarika na kwamba taifa hilo linaweza kufaulu katika yale linalotaka kufanya.

Amesema nchi hiyo kwa sasa ina serikali ambayo inaweza kuaminika na mipango yenye maana.

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema Jumuia ya Kimataifa ina nafasi kubwa kuisaidia Somalia.

Hata hivyo Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo ameonya kuwa mapambano dhidi ya wapiganaji wa Al Shabaab yanaweza kuendelea kwa miongo kadhaa iwapo vikwazo vya silaha havitaondolewa.

Mkutano huo wa siku moja ulizungumzia pia tatizo linaloikabili Somalia la athari za ukame ambazo zinageuka kuwa baa la njaa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu