Naibu Meya wa Jiji la Arusha afunga mafunzo ya kisheria kwa wanawake wajane na watoto yatima.

In Kitaifa

Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Viola Likindikoki leo Oktoba 24 amefunga mafunzo ya kisheria katika kata ya Moivaro kwa kuwatunuku vyeti wanawake wajane wanaotoka ndani na nje ya kata ya Moivaro pamoja na watoto yatima wanaotoka katika kituo cha Tumaini vocetion training center.

Mafunzo hayo ya kisheria yaliandaliwa na  Bi.Judy Owens na kufanyika katika kanisa la International evangelist Church,Pia Bi.Judy ndiye alikua Mkufunzi katika mafunzo hayo.Hata hivyo Mawakili walialikwa ili kutoa somo la kisheria katika mafunzo hayo,miongoni mwa mawakili walioalikwa ni Bi.Winniefrida Manyanga na Baraka Joel.

Mafunzo hayo ya kisheria yalifunguliwa miezi mitatu iliyopita na Diwani wa kata hiyo Mhe.Rick Moiro.

Wanawake hao wajane waliopokea Mafunzo hayo ya kisheria wametakiwa kwenda kuwafundisha wanawake wengine wajane wanaokaa ndani na nje ya kata hiyo waliokosa fursa ya kupata mafunzo hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu