Naibu Meya wa Jiji la Arusha afunga mafunzo ya kisheria kwa wanawake wajane na watoto yatima.

In Kitaifa

Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Viola Likindikoki leo Oktoba 24 amefunga mafunzo ya kisheria katika kata ya Moivaro kwa kuwatunuku vyeti wanawake wajane wanaotoka ndani na nje ya kata ya Moivaro pamoja na watoto yatima wanaotoka katika kituo cha Tumaini vocetion training center.

Mafunzo hayo ya kisheria yaliandaliwa na  Bi.Judy Owens na kufanyika katika kanisa la International evangelist Church,Pia Bi.Judy ndiye alikua Mkufunzi katika mafunzo hayo.Hata hivyo Mawakili walialikwa ili kutoa somo la kisheria katika mafunzo hayo,miongoni mwa mawakili walioalikwa ni Bi.Winniefrida Manyanga na Baraka Joel.

Mafunzo hayo ya kisheria yalifunguliwa miezi mitatu iliyopita na Diwani wa kata hiyo Mhe.Rick Moiro.

Wanawake hao wajane waliopokea Mafunzo hayo ya kisheria wametakiwa kwenda kuwafundisha wanawake wengine wajane wanaokaa ndani na nje ya kata hiyo waliokosa fursa ya kupata mafunzo hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu