NAIBU WAZIRI WA MADINI, STANSLAUS NYONGO AANZA ZIARA YA SIKU MBILI TANGA

In Kitaifa

Leo tarehe 25 Juni, 2020 Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameanza ziara ya siku mbili katika mkoa wa Tanga yenye lengo la kukagua shughuli za madini pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wachimbaji wa madini.

Mara baada ya kuwasili mkoani Tanga amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela.

Akizungumza kabla ya kuanza kwa ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigella mbali na kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Wizara ya Madini kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini amesema kuwa ofisi yake imekuwa ikishirikiana kwa karibu na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Tanga kwenye utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazoikumba Sekta ya Madini katika mkoa wa Tanga.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu