Nassari azungumza kuhusu kuenguliwa kwa madiwani Arumeru.

In Kitaifa, Siasa

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari amekata rufaa kupinga hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wake wawili waliopitishwa kugombea udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa marudio unaofanyika katika kata tan0 Jimbo la Arumeru Mashariki.

Mwanasheria wa CHADEMA anayesimamamia mapingamizi hayo Shedrack Mfinanga amethibitisha kuandika barua ya malalamiko kwa tume ya uchaguzi kupitia kwa msimamizi wa uchaguzi mdogo wa madiwani katika halmashauri ya Meru Ramadhani Madili.

Amesema msimamizi huyo wa uchaguzi ana sifa ya kuwaengua wagombea udiwani sio kazi yake na alipaswa kupeleka mapendekezo yake kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ili aweze kuyatolea uamuzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu