Nassari azungumza kuhusu kuenguliwa kwa madiwani Arumeru.

In Kitaifa, Siasa

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari amekata rufaa kupinga hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wake wawili waliopitishwa kugombea udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa marudio unaofanyika katika kata tan0 Jimbo la Arumeru Mashariki.

Mwanasheria wa CHADEMA anayesimamamia mapingamizi hayo Shedrack Mfinanga amethibitisha kuandika barua ya malalamiko kwa tume ya uchaguzi kupitia kwa msimamizi wa uchaguzi mdogo wa madiwani katika halmashauri ya Meru Ramadhani Madili.

Amesema msimamizi huyo wa uchaguzi ana sifa ya kuwaengua wagombea udiwani sio kazi yake na alipaswa kupeleka mapendekezo yake kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ili aweze kuyatolea uamuzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu