Nchi 15 waangalizi uchaguzi mkuu 2020.

In Kitaifa

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki
Profesa Palamagamba John Kabudi amesema,uchaguzi wa
mwaka huu utakuwa na waangalizi kutoka mataifa 15.


Mbali na waangalizi kutoka katika nchi hizo pia waziri Kabudi
ameeleza kuwa uchaguzi wa mwaka huu unagharamikiwa na
serikali kwa asilimia mia moja bila fedha kutoka nchi za nje.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu