Nchi ya Qatar imefungua huduma za usafiri wa meli kutokea Oman kwa lengo la kukabiliana na vikwazo vya usafiri vilivyowekwa na majirani zake.

In Kimataifa

Nchi ya Qatar imefungua huduma za usafiri wa meli kutokea Oman kwa lengo la kukabiliana na vikwazo vya usafiri vilivyowekwa na majirani zake.

Meli kadhaa zikiwa zimebeba vyakula na bidhaa mbalimbali zimeonekana zikielekea Qatar kutokea bandari mbili zilizopo Oman.

Qatar inategemea uingizwaji wa chakula kutoka nje.

Saudi Arabia, Bahrain na muungano wa Falme za Kiarabu zilizuia uingizwaji wa bidhaa kwenda Qatar wiki chache zilizopita kwa shutuma kuwa nchi hiyo inaunga mkono vitendo vya kigaidi.

Waziri wa mambo ya nje wa Qatar amewasili mjini London na kisha Paris kujadili mgogoro huo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu