Ndege ya mizigo Boeing 767-300F kutua April.

In Kitaifa

Serikali inatarajia kupokea ndege ya kwanza ya Mizigo ili
kutatua changamoto za wafanyabiashara za usafirishaji wa
mizigo duniani.


Akizungumza Jijini Dar es Salaam kwenye ufunguzi wa
Mkutano wa mwaka 2022/23 wa wadau wa ATCL wa
Usafirishaji Mizigo Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu,
amesema ujio wa ndege hiyo nchini utawezesha waliokuwa
wanalazimika kupeleka mizigo yao nje ya nchi kupitia ndege za
nchi jirani,sasa hawata lazimika kufanya hivyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu