Ndege ya mizigo Boeing 767-300F kutua April.

In Kitaifa

Serikali inatarajia kupokea ndege ya kwanza ya Mizigo ili
kutatua changamoto za wafanyabiashara za usafirishaji wa
mizigo duniani.


Akizungumza Jijini Dar es Salaam kwenye ufunguzi wa
Mkutano wa mwaka 2022/23 wa wadau wa ATCL wa
Usafirishaji Mizigo Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu,
amesema ujio wa ndege hiyo nchini utawezesha waliokuwa
wanalazimika kupeleka mizigo yao nje ya nchi kupitia ndege za
nchi jirani,sasa hawata lazimika kufanya hivyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu