Ndege ya shirika la coastal aviation yaanguka tena.

In Kitaifa

Ndege ya Shirika la Coastal Aviation yaanguka. Inasadikiwa watu 11 wamefariki

Ndege imegonga mlima huko Empakai Ngorongoro ikielekea Serengeti, imeua abiria 11 akiwemo rubani mmoja, hii ni ndege ya pili kwa kampuni hiyo kuanguka ndani kipindi cha miezi miwili.

Ndege ya kwanza aina ya Cessna Grand Caravan 5-THR, ilianguka oktoba 25 2017.

Inasadikiwa waliokuwepo katika ndege hiyo ni Simeone Kombe, Nasibu Mfinanga, Gift Lema,Shatri Mfinanga na Mfalala Siyabonga

Pichani ni majina ya wanaosadikiwa kuwamo katika ndege hiyo.
#Radio5.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu