Ndege za watalii zatua nchini.

In Kitaifa


Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Abeid Aman Karume
visiwani Zanzibar umeendelea kupokea ndege ya shirika al
Qatar Air aina ya Dreamliner 787 iliyobeba watalii zaidi ya 80
kutoka Doha nchini Qatar.




Leo ndege ya Qatar imetua katika uwanja wa kimataifa wa KIA
ikiwa  na watalii 50 kutoka nchi mbalimbali ambao wamefika
nchini Tanzania kwa ajili yakutembelea hifadhi za taifa ambapo
ni miezi minne imepita baada yakuwepo kwa changamoto ya

ugonjwa wa Corona nakupelekea nchi nyingi kusitisha safari
zake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu