NEC kutangaza utaratibu wa uchaguzi Singida Kaskazini.

In Kitaifa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesema wakati wowote kuanzia leo Jumatatu, itaeleza kinachoendelea kuhusu kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Singida Kaskazini.

Jimbo hilo liko wazi tangu Oktoba 29 mwaka huu, baada ya aliyekuwa mbunge wake kupitia CCM Lazaro Nyalandu kujiuzulu uanachama wa chama hicho.

Akizungumza na wanahabari Mkurugenzi wa Uchaguzi Ramadhan Kailima amesema kuwa, muda si mrefu watatoa taarifa ya kinachoendelea.

Kuhusu hatima ya waliokuwa wabunge nane wa CUF ambao hivi karibuni Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewarejeshea uanachama, Kailima amesema wao wanapokea maagizo kutoka kwa mamlaka husika, na mpaka sasa bado hatujapokea.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu