NEC kutangaza utaratibu wa uchaguzi Singida Kaskazini.

In Kitaifa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesema wakati wowote kuanzia leo Jumatatu, itaeleza kinachoendelea kuhusu kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Singida Kaskazini.

Jimbo hilo liko wazi tangu Oktoba 29 mwaka huu, baada ya aliyekuwa mbunge wake kupitia CCM Lazaro Nyalandu kujiuzulu uanachama wa chama hicho.

Akizungumza na wanahabari Mkurugenzi wa Uchaguzi Ramadhan Kailima amesema kuwa, muda si mrefu watatoa taarifa ya kinachoendelea.

Kuhusu hatima ya waliokuwa wabunge nane wa CUF ambao hivi karibuni Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewarejeshea uanachama, Kailima amesema wao wanapokea maagizo kutoka kwa mamlaka husika, na mpaka sasa bado hatujapokea.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu