NEC yaruhusu leseni ya udereva kupigia kura.

In Kitaifa

Kwa mujibu wa kifungu cha 62 (a) sheria ya Uchaguzi wa Seriakli za mtaaa, Tume ya uchaguzi imeruhusu wapigakura walipoteza vitambulisho vya kupigia kura kupata fursa ya kushiriki zoezi hilo kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata 43.

Ambapo imesema katika Uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika rasmi Novemba 26 wapiga kura wameruhusiwa kupiga kura kwa kutumia leseni zao za udereva, pasi ya kusafiria pamoja na vitambulisho vya uraia vianvyotolewa na Mamlaka ya Vitambulsho vya Taifa NIDA.

Fursa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, Ramadhani Kailima alipokuwa akitoa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi huo.

Aidha amefafanua kuwa ruhusa hiyo imetolewa kwa sharti la kwamba majina na herufi yaliyopo kwenye kitambulisho hicho yafanane na majina na herufi zilizopo kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura.

Hata hivyo Mafunzo hayo bado yanaendelea kufanyika jijini Dodoma kuwaandaa wasimamizi wa uchaguzi huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu