Neema Kuwashukia wafanyakazi wa Manyumbani.

In Kitaifa
Serikali imetakiwa kuridhia na kupitisha mkataba wa kimataifa wa wafanayakazi wa majumbani namba 189 wa kazi zenye staha wa mwaka 2011 ili kuwezesha haki za wafanyakazi wa majumbani zifatwe kisheria.
Mkataba wa wafanyakazi wa majumbani ulipitishwa tarehe 16/6/2011 na shirika la kazi duniani ILO huko Geneva Switzerland ambapo hadi sasa aslimia kubwa ya nchi hazijaridhia  mkataba huo ikiwemo Tanzania.
Hata hivyo katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi wa majumbani Watanzania wameungana na mataifa mengine duniani katika maadhimisho hayo ambapo endapo mkataba huo utaraidhiwa utakuwa ni suluhisho kwa matatizo ya wafanyakazi.
Akizungumza na wafanyakazi wa majumbani Mwenyekiti wa wanawake kutoka chama hicho Atupaksye Mtafya amesema kuwa endapo mkataba huo utaridhiwa na kupitishwa itakuwa chachu ya mabadiliko kwa wafanyakazi wa majumbani ikiwemo kupata haki zao za msingi .
Nao baadhi ya wafanyakazi wa majumbani  wameiomba serikali kuitambua rasmi kada hiyo katika kuchochea uchumi wa nchi huku wakieleza changamoto wanazokumbana nazo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu